Ninaitwa Musa Haruni Mwantimwa, Elimu yangu ni shahada ya ualimu kutoka Chuo kikuu Dar es salaam (University of Dar es salaam) 2015.Kwa sasa ninafanya Biashara ya uuzaji wa bidhaa za afya katika kampuni ya BFSUMA ambayo makao makuu yake ni nchini marekani.Baada ya kuhitimu masomo yangu ya chuo kikuu 2015 mwezi July nili amua kuanza biashara na kampuni ya bfsuma ili kuwa sehemu ya wafanya biashara wakubwa wa bidhaa za afya bidhaa ambazo zina uwezo wa kutibu na kukinga maradhi katika mwili wa binadamu.Kwa kufanya biashara na kampuni ya bfsuma imeniwezesha kupata ustawi wa kiafya na kiuchumi.Mimi ni mtumiaji namba moja wa bidhaa za bfsuma kabla sijawapelekea wengine.

Kiuchumi

Bfsuma imeniwezesha kuongeza kipato changu na kuwa chenye uhakika tofauti na hapo awali ambapo ilinilazimu kuwa na msongo wa mawazo kwa sababu sikuwa na uhakika wa kupata pesa za kujikimu Mimi na familia yangu mfano kununua chakula,kulipa gharama za matibabu na kulipa pango la nyumba.Ninayo miradi kadhaa ya ujenzi wa nyumba ninayo tegemea kuifanya kwa ajili yangu mwenyewe na wazazi wangu.

Mafanikio niliyoyapata

  • 2023 Nimeweza kwenda Afrika ya Kusini kujifunza zaidi kuhusiana na biashara na kukutana na wafanyabishara wakubwa duniani ambao walinipa uzoefu mbali mbali.
  • 2024 Nimeweza kwenda Dubai kwa udhamini wa BF SUMA kwa ajili ya kujifunza na kupata uzoefu mbali mbali wa kuhakikisha biashrfa yangu inakua kwa ukubwa zaidi.
  • Nimeweza kuwasaidia watu zaidi ta 1000 ambao wameanza biashara hii kwasababu niliwafundisha na sasa wanajisimamia kwa ukubwa na kulisha familia zao na kutimiza ndoto zao

Matarajio

Ninatarajia kuendelea kuwasaidia watu wengine wenye njozi kama mimi kuhakikisha wanafikia malengo yao kwa kupitia biashara ninayoifanya.

Mtu yeyote atakayekuwa tayari kufundishwa na mimi na akaamua kuanza kwa mtaji wa kuanzia shilingi 200,000 nitamsaidia kuhakikisha anafikia ndoto zake vizuri kabisa.

Nipigie au tuma meseji kwa 0766 720853 au 0733 288 050


Naitwa Dinest Marcus Maliva…nimama wa watoto wawili….Na pia nimejiajiri kupitia kampuni ya BFSUMA cheo changu ni Diamond Leader..

✍️Historia yangu nje ya BFSUMA/Kabla sijajoajiri na kampuni ya BFSUMA

Kama ilivo kwa kijana yoyote amalizapo masomo yake hamu yake  nikupata ajira..Mimi pia baada ya kuhitimu masomo yangu niliaajiriwa na kufanya kazi kwa miaka kadhaa Ili kuweza kupata mahitaji yangu ya lazima

Lakini kwa sababu nilikuwa na ndoto kubwa kazi Ile haikuweza kukidhi mahitaji nandipo nilipokutana na kampuni ya BFSUMA na kuamua kujifunza na kuthubutu kuanza biashara hii

✍️Safari ya Mafanikio Ndani ya BFSUMA

Baada kuanza biashara BFSUMA nimeweza kufanikiwa kwa kiasi kikubwa kama ifuatavyo

?Nimeweza kuwasaidia waitaji wengi sana wenye changamoto mbalimbali za Afya kitu kilichonipelekea kuwa best sales/muuzaji Bora kwa takribani miaka 6 mfululizo

?Nimeweza kutengeneza bonus kubwa kila mwezi…kupitia mauzo nayofanya Mimi na team yangu

?Nimeweza kushinda safari mbalimbali za kimataifa na kitaifa kama Kwenda Dubai..Ghana..Hongkong

?Nimeweza kujishindia gari mara mbili ndani ya kampuni ya BFSUMA

?Nimeweza kuwasaidia vijana wengi kupata fursa na kubadili maisha Yao kwakuamua kuthubutu na kuanza biashara hii…Nina team ya watu takribani 1500 ambayo wanafanya kazi ndani ya BFSUMA

✍️MALENGO

Malengo yangu nikuhakikisha vijana wengi wanapata taarifa sahihi kuhusu fursa ya BFSUMA  nakuanza safari ya mafanikio kupitia biashara hii

Pia matarajio yangu nikutengeneza kipato kikubwa ndani ya biashara hii Ili niweze kutimiza ndoto zangu

Niko tayari kumsaidia yoyote ataeitaji kuanza biashara hii kwa muda wowote na mahali popote…

Mawasiliano..

Watsap and call:0788942292

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Kwa majina naitwa Beatrice Samson Mallemo, Elimu yangu ni mwanasheria.Nilijiunga na Bfsuma mwaka 2015 nikiwa mwaka wa pili chuoni,mpaka sasa jina miaka saba (7) ndani ya kampuni. Cheo changu ni QSDL nikiwa na maana ya ngazi ya kumi

Nimekua mshindi wa safar tatu za nje ya nchi na gari moja ndani ya kampuni lakini pia nina jiingizia kipato kizuri kila mwezi ndani ya kampuni kinachoniwezesha kukidhi mahitaji yangu na familia ýangu Nilichagua kuifanya kazi hii ya Bfsuma fulltime na nina ofisi kubwa dodoma

Ndoto yangu ni kuhakikisha namshika mkono kila aliye ndani ya Tanzania na nje ya Tanzania mwenye ndoto ya mafanikio na kuhakikisha anatimiza malengo yake

Kwa majina naitwa Erick Etanga na hii ndio Safari Yangu ndani ya biashara yangu ya BF Suma

KUTOKA KUKATA TAMAA HADI KUBADILI MAISHA.

Kila mtu ana ndoto zake, lakini kufanikisha ndoto hizo mara nyingi kunahitaji hatua madhubuti. Nikiwa kijana mwenye malengo makubwa, nilijikuta nikipambana kila siku, lakini changamoto za kifedha na maisha zilikuwa zinanirudisha nyuma. Nilikuwa na ndoto ya kuboresha maisha yangu, lakini nilihisi kama milango yote ilikuwa imefungwa. Hapo ndipo nilipojifunza kuhusu kampuni ya BF Suma.

Nilipata habari za BF Suma kutoka kwa rafiki yangu, ambaye alikuwa amebadilisha maisha yake kupitia kampuni hiyo. Aliniambia kuhusu fursa za biashara ambazo BF Suma inatoa na jinsi unaweza kuanza kama mjasiriamali bila kuhitaji mtaji mkubwa. Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini baada ya kuona mafanikio yake, nilichukua uamuzi wa kujiunga.

KUJIUNGA NA BF SUMA
Kujiunga na kampuni ya BF Suma ilikuwa moja ya maamuzi bora zaidi niliyowahi kufanya. Nilipoanza safari yangu, niligundua kuwa BF Suma ni zaidi ya biashara ya kuuza bidhaa; ni mfumo mzuri wa kusaidia watu kujenga biashara zao na kufanikiwa. Nilianza kama mshiriki mdogo, nikijifunza mbinu za kibiashara, jinsi ya kuuza bidhaa za afya, na namna ya kuunda timu yenye nguvu.

Kilichonivutia zaidi ni ubora wa bidhaa za BF Suma. Bidhaa hizi ni za asili, zenye virutu

bisho vya hali ya juu vinavyosaidia kuboresha afya ya mwili. Nilipenda bidhaa kwa sababu niliona matokeo mazuri, na ilikuwa rahisi kwa wateja wangu nao kuona manufaa yake.

MABADILIKO KWENYE MAISHA YANGU
Ndani ya miezi michache, nilianza kuona mabadiliko makubwa. Sio tu kwa sababu ya mapato, bali pia kwa namna nilivyokuwa na uwezo wa kusaidia watu wengine kuboresha maisha yao kupitia bidhaa na fursa za biashara za BF Suma. Nilianza kupata kipato kinachonisaidia kulipa bili zangu, kuwekeza kwenye ndoto zangu, na hata kuwasaidia wapendwa wangu kifedha.

Lakini mafanikio yangu hayakuegemea kwenye fedha pekee. Nilikuza ujuzi wangu wa uongozi, jinsi ya kuongoza timu, na kuhamasisha watu kufikia ndoto zao. Kila siku, ninapata furaha kubwa kuona watu ninaowaongoza wakifanikiwa, wakiboresha maisha yao kupitia fursa za BF Suma.

KULETA TOFAUTI KWA WATU WENGINE
Sasa, nimekuwa sio tu mshiriki wa BF Suma bali pia kiongozi mwenye uwezo wa kusaidia watu wengine kuanza safari zao. Nimejifunza kuwa mafanikio yanaongezeka unavyosaidia watu wengine kufanikiwa. Ninawaongoza wajasiriamali wapya, ninawapa motisha, na kuwaletea mwanga kwenye safari yao ya kubadili maisha kupitia BF Suma.

Kila mara ninaposhuhudia mtu akianza biashara yake na kuona mabadiliko kwenye maisha yake, ninapata faraja kubwa. Najua kwamba si kila mtu aliye na nafasi kubwa ya kufanikiwa, lakini kwa kujituma, kujifunza, na kushirikiana na timu sahihi kama BF Suma, kila mtu anaweza kufikia ndoto zake.

HITIMISHO
Kujiunga na BF Suma kumeleta mabadiliko makubwa kwenye maisha yangu. Sasa, ninajivunia kuwa sehemu ya familia ya BF Suma, na nimejitolea kusaidia wengine kugundua uwezo wao, kuanza biashara zao, na kubadilisha maisha yao kama mimi nilivyofanikiwa. Kama unatafuta fursa ya kubadili maisha yako, BF Suma inaweza kuwa jibu sahihi kwako kama ilivyokuwa kwangu. Usikate tamaa – kila siku ni fursa mpya ya kufanikiwa!

Naitwa Amosi Mwita, Ni mshindi WA gari pamoja na safari mbili ndani ya Kampuni ya BF SUMA, Nafundisha Watu Kuanzisha Biashara Kwa mtaji mdogo na Kwa Muda Wa Ziada, bila kuathiri shughuli zako za kila siku. Nimtafurahi kwakua nimewasaidia watu wengi Sana kubadilisha maisha ya kiuchumi pia na kipato… Karibu sana ujifunze zaidi kutoka kwangu.

Ni mke na Mama wa watoto wawili,Ni Mwanachama hai katika kampuni ya BFSUMA

Nimejiumga rasmi mwaka 2018 Mwezi wa kumi,Toka nimejiunga na kampuni hii nimefanikiwa kubadilishwa kimtazamo kwani nilikuwa nikiamini kuajiriwa zaidi kuliko kujiajiri.

BFSUMA imenitoa kwenye ziro mpaka kwenye kitu fulan yaan imenifanya kuwa na uhuru wa kipato kupitia faida ya rejareja ninayoipata kila niuzapo bidhaa na kila mwezi inanilipa bonus kulingana na mauzo niliyofanya mimi pamoja na team yangu

Nimefanikiwa kumiliki ofisi yangu mwenyewe yaan duka la Bfsuma ambalo BFSUMA inanilipa kila mwezi

Ni mshindi wa safari mwaka 2022 na pia mshindi wa safari mwaka 2023, Ni tuzo ambazo zinatolewa na Bfsuma

 

SAFARI YANGU YA MAFANIKIO NDANI YA KAMPUNI YA BFSUMA.

Naitwa Riziki Almas, ni mama wa watoto wawili, nimemaliza chuo kikuu Cha dar es salaam mwaka 2014, na sikufanikiwa kupata ajira,hivyo nilijiari na kufungua ofisi ya ushonanji nguo, kutokana  na changamoto za biashara ( Kodi, ujuzi, rasiliamali watu) nilishindwa kuendelea na kufunga ofisi yangu ya ushonaji , na ndio nilipokutana na fursa hii ya biashara ( BFSUMA) kupitia rafiki yangu nilosoma naye chuo Iman mosses Mwasaka, Kwa Sasa ni mjasiriamali mkubwa kupitia kampuni ya BFSUMA niliyeanza safari yangu ya mafanikio mnamo 29/01/2016 na ninashukuru Mungu Kwa kuwa imenisaidia kutimiza ndoto zangu nilizokua naona siwezi kutimiza kabla sijaanza biashara.

Ndoto kubwa nilonayo ndio ilikuwa chachu ya kuchagua kampuni ya BFSUMA. ndoto yangu ni kuwasaidia watu zaidi ya 1000 kutimiza ndoto zao na kuziishi  mpaka 2025 hii ndoto itakuwa imetimia na Pili kuwa na kampuni ya uwekezaji wa makazi na viwanja( real estate) mpaka mwezi 12/2026 ndoto yangu hii itakuwa imetimia.

MAFANIKIO NILOPATA MPAKA SASA 2022

SAFARI

Nimefanikiwa kupata tuzo za safari ndani ya bara la afrika na Asia ( intercontinental travel awards) na safari za kimataifa (international travel awards) mpaka sasa nimeweza kwenda nchi 4 ikiwepo Thailand,Hongkong, south Africa, Kenya.

GARI

Nimefanikiwa kushinda tuzo ya Gari( Normal car award) 2022 aina ya Audi A4 yenye thamani ya Dola 12,500 za kimarekani na nimeweza.

BONUS KUBWA

Nimefanikiwa kuwa miongoni mwa watu wanaopokea Malipo makubwa( bonus) kubwa ndani ya kampuni yaani ni miongoni wa kumi Bora wanaopokea bonus kubwa ndani ya Tanzania.

HARAKATI ZA WANAWAKE(AMBITIOUS WOMEN)

Nimefanikiwa kuanzisha harakati za wanawake walioamua kupambania NDOTO zao, tunakusaidia kutambua uwezo/nguvu ulionao kiasili katika kujenga JAMII yenye mafanikio makubwa bila kutelekeza NDOTO zako. Kama wewe ni mpenda harakati hizi ungana nami kwenye kurejesha furaha na uwezo wa Mwanamke.

TIMU KUBWA ( BRIGHTER TEAM)

Nimefanikiwa kujenga biashara yangu kubwa Tanzania bara na visiwani na  imenisaidia kuwafikia vijana,wazee na watanzania wengi wenye njaa ya Mafanikio bila kujali elimu zao, historia zao,ujuzi wao Hivyo hata wewe unayesoma hii waweza jiunga Kwa timu yangu ili ufikie “NDOTO YAKO KUBWA ULOTELEKEZA.”
Mimi nakwambia inawezekana kunyanyuka Tena na KUPIGANIA NDOTO yako.

Naitwa Hassan Tanganyika, Nawasaidia Vijana wa Kiafrika kumiliki Mfumo wa biashara utakaowaingizia milion na zaidi kila mwezi

Mpaka sasa nimewasaidi zaidi ya vijana 650 kuingiza kipato cha milion na zaidi kila mwezi

lengo ni ifikapo mpaka 2025 niwe nimewasaidia vijana zaidi ya 1,500 kuingiza kipato cha milion na zaidi kila mwezi.

karibu niwe mkufunzi wako nikushike mkono hatua kwa hatua uwe mmoja wa watu hawa 1,500!


Naitwa Happiness Bwana Kashumba .Balozi wa Kampuni ya Bfsuma..nimama wa watoto wawili..ni mke pia

✍️Elimu
Muhitimu shahada ya Ualimu kutoka chuo kikuu cha Dar es salam

 

Taaluma
✍️Kwa taaluma ni mwalimu

Mwalimu Happiness vs Leader Happiness

 

 

✍️Kazi niifanyayo sasa
Kwa sasa nimejiajiri kupitia kampuni ya Afya BFSUMA kampuni ambayo imeweza kubadili maisha yangu kwa kiasi kikubwa na kwasasa natambulika kama kiongozi ngazi ya 10 au Senior Diamond leader ngazi ambayo Iko ndani ya ngazi 12 katika kampuni ya BFSUMA

 

✍️Mfanikio Ndani ya Kampuni ya BFSUMA
Nikiwa na miaka kadhaa Toka nifanye maamuzi ya kujiajiri..nimeweza kufanikiwa baadhi ya ndoto zangu kama ifuatavyo

🛶Mshindi wa Safari mwaka 2019 ..2021

Kupitia Kampuni ya Bfsuma nimeweza kushinda safari za kimataifa kwa ajili ya kwenda kujifukiza mambo mapya na pia kutalii




 

🚗Mshindi wa Gari mwaka 2020.

 

👠Pia biashara hii imeweza kunipa nafasi yakukuza kipato changu ambapo Mimi kama mwanamke nimeweza kujitimizia mahitaji yangu muhimu huku nikiendelea kutimiza ndoto zangu

👭 nimeweza pia kuwasaidia watu mbalimbali nao pia kuweza kujenga biashara na takribani watu 2000 wananufaika na kampuni kupitia Mimi kuwapa taarifa juu ya biashara hii

🏋️Malengo
.Malengo yangu nikuhakikisha nawasaidia Watanzania wengi na wasio Watanzania kuweza kubadili maisha Yao kupitia kampuni hii ya BFSUMA

.kutengeneza biashara kubwa itayonilipa Mimi na kizazi changu

Naifurahia biashara yangu sababu inanipa nafasi yakusaidia waitaji wengi wenye changamoto za Afya..lakin kuwasaidia vijana kupata fursa ya biashara….
Kupitia fursa hii nimeweza kubadili maisha yangu kimtazamo na kiuchumi pia.
Nawakaribisha tuzungumze pamoja

Karibu nikupe mafunzo jinsi ambavyo utaweza kubadili maisha yako kupitia kampuni ya BFSUMA…

Mawasiliano: Calls:0764176261

Watsap:0764176261

Au bonyesa link hii kunipata Moja kwa moja

Message Happiness Kashumba on WhatsApp. https://wa.me/message/UYKULKMIT5JOD1

 

 

 

 

 

 

Naitwa PETER FERICK MWASAKA, Ni Mwanachama wa Kampuni Ya BFSUMA Ngazi Ya Uongozi Mwandamizi ( QUALIFIED SENIOR LEADER), Ni Mwanachama Pekee Ndani Ya Kampuni Nilieweza Kushinda TUZO Ya Safari( DUBAI 2022) Kwa Muda Wa Miezi 7 tu, Piah Nategemea Kupata Tuzo Ya Gari Ya NDOTO yangu Ndani Ya Muda Mfupi Ujao..

Ndani Ya Team Yangu Ninao watu Wengi Wa Rika Zote Zaidi ya 500 Ambao nawaongoza na kuwafundisha, Na Wanajiingizia KIPATO Kila SIKU, Kila MWEZI Na kuendesha Maisha Yao Kupitia FURSA Hii Adimu, Na Hii Ndio Furaha Yangu Kuona Watu Ninaowaongoza Wanaendesha Maisha Yao Bila Shida,

Karibu Uungane Na Mimi Nitakufundisha Na Kukushika Mkono Mpaka Uweze Kufikia Kilele Cha Mafanikio,

Call/ Watsap 0764 630 629

*Mafanikio Yako Ndio Furaha Yangu*

© 2026 MPANGO MZIMA. All Rights Reserved